Tue, 2 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Fenerbahce ina mpango wa kupiga kura leo Jumanne kama waendelee na msimamo wao wa kutoshiriki Ligi ya Uturuki ama laah.
Klabu ya Fenerbahce ina mpango wa kupiga kura leo Jumanne kama waendelee na msimamo wao wa kutoshiriki Ligi ya Uturuki ama laah. Uamzi huo unakuja baada ya wachezaji wao kuvamiwa na mashabiki uwanjani kwenye mchezo wao dhidi ya Trabzonapor.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live