Sat, 14 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mara nyingine tena nyota wa klabu ya Azam FC Feisal Salum amekosekana kwenye kikosi cha timu ya Taifa kinachoenda kumenyana na Sudan huko Saudi Arabia chini ya kocha Amrouche.
Wengi wameshangazwa na jambo hilo kwani kiungo huyo kwa sasa anaonekana kufanya vyema akiwa na klabu yake ya Azam FC.
Unadhani sababu ni nini, kiwango au haendani na mbinu za kocha ?.Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live