Mon, 28 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Msaidizi wa Yanga, Cedric Kaze ameweka wazi kuwa timu hiyo itamkosa kiungo Feisal Salum kwenye mchezo wao dhidi ya Ihefu hapo kesho na majeruhi yanayomsumbua nyota huyo.
Kocha Msaidizi wa Yanga, Cedric Kaze ameweka wazi kuwa timu hiyo itamkosa kiungo Feisal Salum kwenye mchezo wao dhidi ya Ihefu hapo kesho na majeruhi yanayomsumbua nyota huyo. Fei Toto alipata majeraha kwenye mchezo wao dhidi ya Dodoma Jiji uliochezwa kwenye uwanja wa Liti huko mkoani Singida wiki iliyopita, majeraha ambayo yalimfanya nyota huyo kushindwa kumaliza mchezo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live