Fri, 8 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo mshambuliaji wa Azam FC, ameangua kicheko cha kiaina baada ya kuulizwa kuwa amekwenda Azam kama njia ya kupita kuelekea Simba SC.
Feisal aliulizwa swali hilo hapo jana mara baada ya timu yake kuibuka na ushindi wa gli 5-0 dhidi ya KMC katika uwanja wao wa nyumbani wa Azam Complex Chamazi jijini Dar.
"Aaaahhaha tusiliongelee suala hilo bwana," alicha Feisal.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live