Mon, 27 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Takwimu za Kiungo wa Azam FC, Feisal Salum "Fei Toto" tangu ajiunge na Azam FC zinamuonesha kuwa ni mmoja wa wachezaji wenye matokeo makubwa katika kikosi cha mwalimu Dab.
Takwimu za Fei akiwa Azam kwa mechi za Ligi Kuu;
Mechi 10
Mabao 6
Assists 4
Hat Trick 1
Kwenye Magoli 24 yaliyofungwa na Azam FC msimu huu ndani ya Ligi, Fei Toto amechangia magoli 10.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live