Mon, 26 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kutoka kwa mchambuzi nguli wa soka nchini, Shaffih Dauda, amefunguk kuhusu sakata la kiungo mshambuliaji wa Yanga, Feisal Salum Abdallah 'Fei Toto' ambaye ameshaomba kuondoka Yanga.
Suala la Feisal ndio mwanzo wa ukombozi wa maslahi ya wazawa, watawapa nafasi watalaam sahihi wa sheria, watahitaji washauri wazuri na Mameneja bora, ndipo maslahi yatapatikana.
Feisal ameianzisha safari ya kuifikia nchi ya ahadi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live