Fri, 8 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum 'Fei Toto' amefikisha magoli saba kwenye Ligi Kuu ya NBC 2023-24.
Fei amefikisha idadi hiyo baada ya kufunga goli jana Desemba 7, 2023 dhidi ya KMC wakati timu yake ikiibuka na ushindi wa 5-0.
Fei sasa analingana na Aziz Ki wa Yanga SC, Jean Baleke wa Simba na Max Nzengeli wa Yanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live