Sat, 1 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Azam FC, Feisal Salum amesema wataingia uwanjani kwa kuiheshimu Yanga huku akiwataka Yanga nao kuwaheshimu Azam FC.
“Tunawaheshimu sana Yanga na wao waje kwa kutuheshimu, wakifanya makosa tutawaadhibu”.
Feisal amefurahi fainali kuletwa nyumbani na anaitumia kama fursa ya kuongeza hamasa ya upambanaji kwa wachezaji wenzake wa Azam FC.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live