Tue, 21 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Yanga na Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Feisal Salum Abdallah 'Fei Toto' amesema kuwa wamejiandaa vizuri kuwakabili Uganda katika mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2023.
Kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Yanga na Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Feisal Salum Abdallah 'Fei Toto' amesema kuwa wamejiandaa vizuri kuwakabili Uganda katika mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2023. "Kweli kuna wachezaji wapya na mwalimu mpya ila Uganda tunawaheshimu ni timu nzuri ina wachezaji wazuri, ila tutaipambania Taifa Stars ili tupatematokeo," amesema Fei Toto.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live