Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Fei Toto: Ndoto yangu ni kucheza Al Ahly

Feisal Salum Fei Toto Msamah Kiungo wa Azam FC, Feisal Salum "Fei Toto"

Mon, 10 Jun 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Kiungo Mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum 'Fei Toto' amesema ndoto yake ni kucheza soka la kulipwa katika Klabu ya Al Ahly ya Misri.

Fei amefunguka kuwa anavutiwa na Al Ahly kutokana na historia yake ya kuchukua makombe mbalimbali ndani na nje ya Misri.

Unalipi la kumshauri Feisal?

Chanzo: www.tanzaniaweb.live