Baada ya game ya jana kumalizika mwandishi wa habari bingwa kabisa ulimwenguni Fabriziorom anatumia paragraph tatu kuelezea mwezi February kwa kutumia maisha ya Sebastian Haller .
February 2022 alikutwa na cancer na kufanyiwa diagnosis [ Hii ni moja ya matibabu wanayopatiwa wagonjwa wa cancer]
February 2023 Haller anasimama tena na kurudi uwanjani na kuanza kuitumikia Klabu yake ya Borusia Dortmund [ Ikumbukwe Haller alisajiliwa na Dortmund akitokea Ajax baada ya kufanya vizuri kwenye msimu wa 2021/22 ]
February 2024 ,Haller anafunga magoli mawili muhimu kwa Taifa lake moja hatua ya Nusu Fainali na jana pia kwenye Fainali alifunga bao la ushindi.