Sat, 4 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Maneno ya wakili wa Feisal Salum (Fei Toto), Fatma Karume kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Hivi karibuni alisema kuwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linamlazimisha mchezaji huyo kufanya kazi na Yanga wakati ni kinyume na sheria za FIFA. Mwanasheria huyo amesema TFF ilipaswa kujiuliza ikiwa mchezaji huyo alivunja mkataba kwa njia sahihi au la, na kama hakutumia njia sahihi alipaswa apigwe faini na si kulazimishwa kuitumikia klabu hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live