Mon, 28 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Fainali ya CAF Super Cup 2023 kati ya Mabingwa watetezi Al Ahly na Mabingwa wa Kombe la Shirikisho USM Algers itachezwa Septemba 15 nchini Saudi Arabia.
Fainali ya CAF Super Cup 2023 kati ya Mabingwa watetezi Al Ahly na Mabingwa wa Kombe la Shirikisho USM Algers itachezwa Septemba 15 nchini Saudi Arabia. Mchezo huo utapigwa katika Uwanja wa Kimataifa wa King Fahd.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live