Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Fabrizio Romano: Messi ndio mshindi wa Ballon D'or

Messi Ballondd Fabrizio Romano: Messi ndio mshindi wa Ballon D'or

Thu, 26 Oct 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mwandishi nguli wa Habari za michezo Fabrizio Romano amethibitisha kuwa Lionel Messi ndiye mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa jarida la habari la Ufaransa la France Football ‘Ballon d'or’

Romano anadai viashiria vyote vipo ukingoni kuthibitishwa lakini Messi ndiye mshindi wa mwisho wa tuzo hiyo itakayotangazwa siku ya Jumatatu Oktoba 30, 2023.

Hii itakuwa tuzo ya 8 kwa Messi tatu zaidi ya mpinzani wake wa muda mrefu Cristiano Ronaldo mwenye ballon d’or 5.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live