Thu, 6 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga imefutiwa adhabu ya kutosajili kwa kosa la kutoingiza uthibitisho wa malipo ya usajili wa mchezaji kwenye mfumo wa usajili, TMS - lakini bado inakabiliwa na adhabu nyingine kwa kutomlipa mchezaji iliyemuacha, Mzambia Lazarous Kambole.
Soma kwa urefu taarifa ya TFF hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: