Wed, 12 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
FIFA imelitaka Shirikisho la soka nchini Saudi Arabia kuifungia klabu ya Al Nassr kusajili mchezaji yeyote kwa sababu wameshindwa kulipa ada ya uhamisho wa Ahmed Musa kutoka Leicester City.
FIFA imelitaka Shirikisho la soka nchini Saudi Arabia kuifungia klabu ya Al Nassr kusajili mchezaji yeyote kwa sababu wameshindwa kulipa ada ya uhamisho wa Ahmed Musa kutoka Leicester City. Al Nassr ndio klabu anayocheza Cristiano Ronaldo, ambae alitokea Manchester United.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live