Baada ya kuacha mjadala mkubwa kwa goli lililofungwa na Japan katika mchezo dhidi ya Hispani kuwania kufuzu kwa hatua ya 16 siku ya Disemba 1.
Wapo wanaodai mpira huo ulikuwa umeshatoka kabla ya kupigwa kuelekea kwa mfungaji na kuwapa Japan faida ya kupata goli la pili na la ushindi.
Hatimaye Shirikisho la Soka Duniani FIFA limekuja na vithibitisho vya uhakika katika kuondoa utata wa goli hilo.
FIFA imesema kwamba goli la Jpan lilikuwa halali na mpira haukuwa umetoka wote hivyo ilikuwa sahihi kuendelea kuchezwa.
Tazama video hizi hapa chini zilizotolewa na FIFA;
Japan’s second goal in their 2-1 win over Spain was checked by VAR to determine if the ball had gone out of play.
— FIFA.com (@FIFAcom) December 2, 2022
The video match officials used the goal line camera images to check if the ball was still partially on the line or not. pic.twitter.com/RhN8meei6Q
Other cameras may offer misleading images but on the evidence available, the whole of the ball was not out of play. pic.twitter.com/HKKEot0j1Y
— FIFA.com (@FIFAcom) December 2, 2022