Wed, 17 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la soka Duniani FIFA kuanzia msimu ujao litakuwa linatoa tuzo ya goli bora kwa upande wa wanawake lililofungwa kwa mwaka husika itakayoitwa Marta award.
Tuzo hii utakuwa ni kwaajili ya heshima ya nyota raia wa Brazil Marta Silva ambaye amefanya makubwa kwenye soka na jana amekabidhiwa tuzo hiyo ya heshima.
Akiwa na kikosi cha timu ya Taifa ya Brazil kama nahodha amefunga magoli 123.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live