Tue, 3 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya FGA inayoshiriki Championship imemtambulisha Kocha Athuman Cairo kuwa Kocha wao Mkuu Mpya baada ya kuachana na Novatus Flugence.
Klabu ya FGA inayoshiriki Championship imemtambulisha Kocha Athuman Cairo kuwa Kocha wao Mkuu Mpya baada ya kuachana na Novatus Flugence. Cairo amewahi kufundisha katika klabu za African Sports,Mgambo Shooting katika ligi kuu Tanzania Bara pamoja Mawenzi Market,Pamba Fc na Biashara United kwenye Championship.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live