Mon, 22 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya soka ya Nantes ya nchini Ufaransa inayoshiriki Ligi Kuu nchini humo imeonesha nia ya kutaka huduma ya Kocha wa Azam FC, Youssouph Dabo raia wa Senegal.
Taarifa kutoka chanzo cha karibu na kocha huyo kimeeleza kuwa Dabo amepiga chini ofa hiyo akisema bado yupo kwenye mipango ya muda mrefu ya Azam FC.
jana Azam ilicheza na Ihefu FC (Singida Black Stars) na kufanikiwa kushinda bao 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC
Chanzo: www.tanzaniaweb.live