Tue, 27 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Adhabu ya Everton ya kukatwa alama 10 imepunguzwa na sasa wamekatwa alama 6 tu baada ya kukata Rufaa kwenye Mahakama ya EPL.
Adhabu ya Everton ya kukatwa alama 10 imepunguzwa na sasa wamekatwa alama 6 tu baada ya kukata Rufaa kwenye Mahakama ya EPL. Sasa Everton itakuwa na alama 25 na itasogea hadi nafasi ya 15 kwenye msimamo wa EPL
Chanzo: www.tanzaniaweb.live