Klabu ya Everton inatarajia kukutana na rugu lingine la kukatwa alama 9 iwapo wamiliki wapya wa klabu hiyo kampuni ya 777Partners watashindwa kuzilipa kiasi cha £ 300 Million klabu za Leeds United, Leicester City na Burnley baada ya kushuka daraja kwa misimu ya hivi karibuni.
Klabu ya Everton inatarajia kukutana na rugu lingine la kukatwa alama 9 iwapo wamiliki wapya wa klabu hiyo kampuni ya 777Partners watashindwa kuzilipa kiasi cha £ 300 Million klabu za Leeds United, Leicester City na Burnley baada ya kushuka daraja kwa misimu ya hivi karibuni. Timu hizo tatu zinajiandaa kuwasilisha malalamiko ili walipwe kiasi cha £100 Million kila klabu baada ya kushuka daraja kwa miaka ya hivi karibuni kutokana na kile wanachodai kuwa Everton ilistahili kukatwa alama msimu uliopita, msimu ambao ilimaliza na alama nne (4) juu ya timu iliyoshuka daraja.