Thu, 3 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester United ipo kwenye mchakato wa kumpa ofa ya mkataba wa mwaka mmoja beki wake, Jonny Evans, 35, ambaye imemsainisha mkataba wa miezi sita katika dirisha hili.
Manchester United ipo kwenye mchakato wa kumpa ofa ya mkataba wa mwaka mmoja beki wake, Jonny Evans, 35, ambaye imemsainisha mkataba wa miezi sita katika dirisha hili. Taarifa zinadai Kocha Erik Ten Hag amevutiwa na kiwango alichoonyesha kwenye mechi za maandalizi ya msimu akiwa na kikosi cha Mashetani Wekundu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live