Fri, 5 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Zikiwa zimepita siku chache toka Taifa la Cameroon limtangaze Mbelgiji Marc Brys kuwa kocha mpya wa timu ya taifa.
Zikiwa zimepita siku chache toka Taifa la Cameroon limtangaze Mbelgiji Marc Brys kuwa kocha mpya wa timu ya taifa. Rais wa Shirikisho la Soka Cameroon (Fecafoot) Samuel Etoo Fils ameibuka na kusema kuwa hatambui uteuzi wa Kocha huyo ambao umefanywa na Wizara ya michezo bila kumhusisha Kama Rais Wa Shirikisho La Soka.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live