Fri, 21 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Zimepita siku kadhaa tangu Kylian Mbappe atangaze kuondoka PSG na baadae kujiunga na Real Madrid ya Hispania.
Zimepita siku kadhaa tangu Kylian Mbappe atangaze kuondoka PSG na baadae kujiunga na Real Madrid ya Hispania. Jioni ya Juni 19 Ethan Mbappé (17) ambaye ni mdogo wake Kylian Mbappe na yeye pia ametangaza kuondoka PSG kama mchezaji huru.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live