Thu, 16 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Man City, Erling Haaland anatarajiwa kuwa mwakasoka wa kwanza Duniani kupata Mshahara wa £1B kwa wiki hiko Man City.
Mshambuliaji wa Man City, Erling Haaland anatarajiwa kuwa mwakasoka wa kwanza Duniani kupata Mshahara wa £1B kwa wiki hiko Man City. Haaland kwa sasa anapokea kiasi cha £865,000 kwa wiki Huko Manchester City, hiyo pesa ni jumla ya Matangazo Bonasi mshahara na mamjo mengi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live