Fri, 3 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Eritrea imejitoa kushiriki michezo ya kutafuta tiketi ya kufuzu fainali za kombe la Dunia wakihofia wachezaji wao kutoroka na kuomba hifadhi nchi zingine kutokana na hali mbaya ya kisiasa inayoendelea nchini humo.
Eritrea imejitoa kushiriki michezo ya kutafuta tiketi ya kufuzu fainali za kombe la Dunia wakihofia wachezaji wao kutoroka na kuomba hifadhi nchi zingine kutokana na hali mbaya ya kisiasa inayoendelea nchini humo. Timu hiyo haijacheza mchezo wowote wa kirafiki tangu mwaka 2019, mwezi ujao walitakiwa kucheza na Morocco na Congo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live