Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Christian Eriksen ana jeraha la goti ambalo linatazamiwa kumuweka nje ya uwanja kwa takriban mwezi mzima.
Christian Eriksen ana jeraha la goti ambalo linatazamiwa kumuweka nje ya uwanja kwa takriban mwezi mzima. Rasmus Hojlund alipata tatizo la misuli na anatarajiwa kurejea kabla ya mwisho wa mwezi Novemba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live