Wed, 27 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Enzo Fernandez amekuwa na mwanzo mbaya kwani tangu asajiliwe na Chelsea ,ameisaidia timu kushinda mchezo mmoja pekee ni kwenye mechi dhidi ya Bournemouth (3-1) mapema mwezi Mei (kwa mechi alizocheza )
Enzo alisajiliwa kwa ada ya £ 106 Milioni alitokea Benfica ya nchini Ureno ,msimu huu amecheza mechi 5 kati ya 6 na kwenye mechi hizo hajafanikiwa kufunga wala kutoa assist .
Kusajili ni kitu kingine na usajili kulipa ni kitu kingine kabisa
Chanzo: www.tanzaniaweb.live