Tue, 7 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkutano Mkuu wa kawaida wa klabu ya Yanga utafanyika Mei 9, 2024. Taarifa ya Rais wa Yanga Eng. Hersi Said imesema mkutano huo wenye ajenda kumi utafanyika Dar es Salaam.
Mkutano Mkuu wa kawaida wa klabu ya Yanga utafanyika Mei 9, 2024. Taarifa ya Rais wa Yanga Eng. Hersi Said imesema mkutano huo wenye ajenda kumi utafanyika Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live