Thu, 22 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Klabu ya Yanga, Eng. Hersi Said amesema Stephan Aziz Ki ndiye mchezaji ghali zaidi katika kikosi cha Yanga.
Raia huyo wa Burkina Faso alisajiliwa klabuni hapo Julai 2022 akitokea Asec Mimosas ya nchini Ivory Coast.
“Mkataba ni siri lakini niseme tu, Azizi Kl ndiye mchezaji ghali zaidi ndani ya Yanga Sc,” amesema Eng. Hersi Said.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live