Fri, 27 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la soka la England wamethibitisha kuwa wapo kwenye uchunguzi kuhusu chapisho la winga wa Manchester United Alejandro Garnacho kwenye mitandao ya kijamii ambapo alitumia emoji za sokwe kwenye picha ya kushangilia baada ya Andre Onana kuokoa penati dhidi ya Fc Copenhagen.
Onana amejibu na kusema; "Watu hawawezi kunichagulia kile ninachopaswa kuchukizwa nacho. Garnacho alimaanisha mtu imara na mwenye nguvu zaidi . Naomba Hili lisiende mbali zaidiā.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live