Nyota wa klabu ya Intercity ya Uhispania na nahodha wa timu ya Taifa ya Guinea ya Ikweta, Emilio Nsue ameshinda tuzo ya mfungaji bora wa michuano ya kombe la Mataifa Afrika AFCON 2023 baada ya kuifungia Guinea ya Ikweta magoli matano kwenye michuano hiyo iliyotamatika kwa wenyeji, Ivory Coast kutwaa mwali kufuatia ushindi wa 2-1 dhidi ya Nigeria kwenye fainali.
Nyota wa klabu ya Intercity ya Uhispania na nahodha wa timu ya Taifa ya Guinea ya Ikweta, Emilio Nsue ameshinda tuzo ya mfungaji bora wa michuano ya kombe la Mataifa Afrika AFCON 2023 baada ya kuifungia Guinea ya Ikweta magoli matano kwenye michuano hiyo iliyotamatika kwa wenyeji, Ivory Coast kutwaa mwali kufuatia ushindi wa 2-1 dhidi ya Nigeria kwenye fainali.