Sun, 9 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambulizi wa Valencia na Uruguay Edinson Cavani, 36, anasema hafikirii kustaafu licha ya kuonekana umri umekwenda.
Mshambulizi wa Valencia na Uruguay Edinson Cavani, 36, anasema hafikirii kustaafu licha ya kuonekana umri umekwenda. Cavani aliwahi kupita katika vilabu vya Napoli, PSG, na Manchester United.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live