Tue, 1 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Siku mbili tu zikiwa zimepita Tangu aliyekuwa Mshambuliaji wa Yanga, Fiston Klala Mayele atambulishwe katika Timu yake mpya ya FC Pyramids ya Misri.
Mashabki wengi wameonekana kutofurahishwa na Uhamisho huo lakini Mchambuzi Mkongwe wa michezo Edo Kumwembe yeye amesema kwa hatua waliyofikia ilikuwa ngumu Yanga kutimiza matakwa binafsi ya Mayele.
Licha ya kuwa mchezaji alikuwa na Mkataba na Klabu lakini ilikuwa ni ngumu kwa Yanga kumudu kwani ni nje ya uwezo wao,
Msikilize Edo Kumwembe akizungumza kwenye Video hapa chini kisha tupe maoni yako.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: