Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Golikipa namba moja wa klabu ya Manchester City raia wa Brazil Ederson ameondolewa kwenye kikosi Cha timu ya taifa ya Brazil kilichoitwa kwa ajili ya kucheza michezo miwili ya kufuzu kombe la dunia 2026 kati ya Colombia na Argentina.
Mara baada ya kubainika kuwa ana jeraha katika mguu wake wa kushoto ambalo amelipata kwenye mchezo wa ligi kuu dhidi ya Chelsea siku ya jumapili.
Nyota wengine ambao hawatakuepo kutokana na majeraha ni
Carlos Casemiro
Neymar Junior
Richarlison
Chanzo: www.tanzaniaweb.live