Wed, 7 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo mshambuliaji wa Ubelgiji, Eden Hazard ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka la kimataifa.
Hazard akiwa nahodha aliiongoza Ubelgiji kwenye michuano ya Kombe la Dunia nchini Qatar mwaka huu, lakini timu yake ilishindwa kufanya vizuri na ikaondolewa katika hatua ya makundi.
Hazard ametangaza kustaafu akiwa na umri wa miaka 31, na aliitumikia Ubelgiji michezo 126 àkifunga magoli 33.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live