Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

#EURO2024: Radi yasimamisha mechi ya Ujerumani na Denmark

RadibWA0028 Radi

Sat, 29 Jun 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Hii ni radi ambayo imepiga muda si mrefu katika uwanja ambao Mechi ya hatua ya 16 bora ya #EURO2024 kati ya Ujerumani dhidi ya Denmark ilikuwa ikiendelea hali iliyosababisha mpira kusimamishwa, na baada ya hali ya hewa kutulia mchezo uliruhusiwa kuendea na hivi sasa ni Mapumziko.

HT: Germany 0-0 Denmark

Hii radi ingetokea bongo pale Lupaso unadhani wabongo wangesemaje?

Chanzo: www.tanzaniaweb.live