Sun, 8 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Arsenal wanaikaribisha Man City katika Uwanja wa Emirates jioni ya leo mchezo wa Ligi Kuu England mzunguko wa 8.
Man City wanahitaji alama 3 ili kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi ambao hivi sasa unakamatwa na Tottenham.
Arsenal wanahitaji alama tatu ili kukamata msimamo wa ligi pia wakiwa na alama 17 nyuma ya man City wenye alama 18.
Winger wa Arsenal, Bukayo Saka anakosa mchezo wa Leo baada ya kucheza mechi 87 mfulululizo za Ligi.
Tazama vikosi vinavyoanza mchezo wa leo;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live