Sat, 4 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Katika Uwanja wa nyumbani wa Emirates, Arsenal wanapiga comeback ya kibabe kutoka nyuma kwa mabao 2-0 na kuongoza mabao 3-2 huku dakika zimkiwa zimesalia chache sana kwa mwamuzi kumaliza mchezo.
Katika Uwanja wa nyumbani wa Emirates, Arsenal wanapiga comeback ya kibabe kutoka nyuma kwa mabao 2-0 na kuongoza mabao 3-2 huku dakika zimkiwa zimesalia chache sana kwa mwamuzi kumaliza mchezo. R. Nelson anapachika bao la tatu na kufanya matokeo mpaka sasa kuwa 3-2 dakika za lala salama.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live