Thu, 16 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa AS Roma na Timu ya Taifa ya Argentina Paulo Dyabala amesema kuwa anajiona miongoni mwa wachezaji wenye bahati ulimwenguni baada ya kufanikiwa na nyota wanaotajwa kuwa bora kwa kizazi hiki katika Soka.
Dyabala amecheza pamoja na Cristiano Ronaldo ngazi ya Klabu lakini pia amecheza na Messi Timu ya Taifa.
Akizungumza Dyabala anasema
"Katika maisha yangu ya soka nimecheza na Leo Messi tukiwa na Argentina na nilicheza na Cristiano Ronaldo pale Juventus.
Naweza kusema mimi ndiye mchezaji wa soka mwenye bahati zaidi duniani"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live