Tue, 11 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tottenham Hotspurs wameikataa Ofa ya Euro Milioni 80 pamoja na nyongeza kutoka Bayern Munich kwa ajili ya Klabu hiyo kumsajili Harry Kane.
Tottenham Hotspurs wameikataa Ofa ya Euro Milioni 80 pamoja na nyongeza kutoka Bayern Munich kwa ajili ya Klabu hiyo kumsajili Harry Kane. Hii ni ofa ya pili kwa Bayern Munich kwenda kwa Kane baada ya ile ya awali kukataliwa na Spurs.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live