Sun, 7 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga imekamilisha usajili wa aliyekuwa Mshambuliaji wa Azam Fc, Prince Dube.
Klabu ya Yanga imekamilisha usajili wa aliyekuwa Mshambuliaji wa Azam Fc, Prince Dube. Dube mwenye uzoefu mkubwa na soka la Tanzania, ataitumikia Yanga kwa mkataba wa miaka miwili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: