Kiungo mshambuliaji wa Azam, Prince Dube, amefuta picha zote alizopiga akiwa na jezi ya timu ya Azam kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa instagram ya mgadafiprince.73, pia ameiondoa @azamfcofficial kwenye profile yake. - Dube ambaye ni raia wa Zimbabwe, ameandika barua ya kuomba kuvunja mkataba na klabu hiyo na kuelezwa kuwa Azam ipo tayari kumuachia lakini alipe dola za Marekani 300,000. -
Kiungo mshambuliaji wa Azam, Prince Dube, amefuta picha zote alizopiga akiwa na jezi ya timu ya Azam kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa instagram ya mgadafiprince.73, pia ameiondoa @azamfcofficial kwenye profile yake. - Dube ambaye ni raia wa Zimbabwe, ameandika barua ya kuomba kuvunja mkataba na klabu hiyo na kuelezwa kuwa Azam ipo tayari kumuachia lakini alipe dola za Marekani 300,000. -