Tue, 12 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la soka barani Afrika CAF limepanga droo ya hatua ya Robo fainali kwa mashindano ya CAFCC leo Machi 12 , Jiji Cairo nchini Misri ambapo Bingwa mtetezi, USM Alger amepangwa kuchezwa na Rivers United ya Nigeria.
Shirikisho la soka barani Afrika CAF limepanga droo ya hatua ya Robo fainali kwa mashindano ya CAFCC leo Machi 12 , Jiji Cairo nchini Misri ambapo Bingwa mtetezi, USM Alger amepangwa kuchezwa na Rivers United ya Nigeria.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live