Mon, 13 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
UEFA imetangaza kurudia droo ya Klabu Bingwa Ulaya kufuatia uwepo wa tatizo la kiufundi katika mfumo wa kuamua timu gani inaweza kucheza dhidi ya timu gani.
UEFA imetangaza kurudia droo ya Klabu Bingwa Ulaya kufuatia uwepo wa tatizo la kiufundi katika mfumo wa kuamua timu gani inaweza kucheza dhidi ya timu gani. Droo itarudiwa saa 11:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki, hivyo ni wakati wa kusubiri tena kwa shauku kuona nani atacheza na nani?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live