Tue, 20 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Watford wamemsajili mshambuliaji wa kimataifa wa Mali bwana mdogo Mamadou Doumbia kwa kandarasi ya miaka sita.
Watford wamemsajili mshambuliaji wa kimataifa wa Mali bwana mdogo Mamadou Doumbia kwa kandarasi ya miaka sita. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 18 anayetumia mguu wa kushoto vyema kabisa atajiunga na Hornets tarehe 1 Julai akitokea Black Stars FC ya Mali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live