Mon, 26 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Borussia Dortmund imeripotiwa kuamsha upya mpango wa kumsajili mshambuliaji wa Manchester United, Anthony Elanga baada ya kushindwa kunasa saini yake Januari.
Borussia Dortmund imeripotiwa kuamsha upya mpango wa kumsajili mshambuliaji wa Manchester United, Anthony Elanga baada ya kushindwa kunasa saini yake Januari. Elanga, 21, hakuwa na wakati mzuri msimu wa kwanza wa kocha Ten Hag, ambapo alishindwa kufunga bao akaishia kuasisti mara mbili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live