Wed, 12 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Borussia Dortmund bado imeendelea kufanya mazungumzo na Manchester United ili kuipata saini ya mshambuliaji wao wa zamani, Jadon Sancho dirisha hili.
Sancho mwenye umri wa miaka 23, amekuwa na wakati mgumu tangu ajiunge na Man United.
Mkataba wake wa sasa unatarajiwa kumalizika mwaka 2026 na inaonekana hatakuwa kwenye mipango ya Kocha Erik Ten Hag.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live