Tue, 25 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Winga Wilfried Zaha amejiunga na Klabu ya Galatasaray ya Nchini Uturuki Kwa Mkataba Wa Miaka Mitatu kama Mchezaji huru baada ya Kumaliza Mkataba wake na Cristal palalce.
Winga Wilfried Zaha amejiunga na Klabu ya Galatasaray ya Nchini Uturuki Kwa Mkataba Wa Miaka Mitatu kama Mchezaji huru baada ya Kumaliza Mkataba wake na Cristal palalce. Zaha alikuwa akiwindwa na vilabu kadhaa vya Saudi Arabia lakini akaamua kubaki Ulaya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live